Mi nasubiri breakfast ya Lizzy misosi yake huwa ni baabkubwa😋😋 yani nikiona tu hapa njaa potelea mbaliAsante.
Wekabasi brekifast mkuu njaa inaniuma kichizi yan na wallet yangu inamatobo kweli😅
Nataka kupiga ndefu kwahiyo weka supu ya kuku wa kienyeji na chapati mbili
Amka Lizzy njaa inauma mama angu


