Inashangaza sana, eti mtu analewa mpaka anajikojolea. Nilikunywa zile zenye jina lako chupa mbili zikakata maana kile kidude ni kitamu jamani and I was okay sasa sielewi nakwama wapi mie
Nataka siku nijaribu kulewa nikiwa home lakini nione kama nitafikia kwa hawa wanaoitwa walevi, nione kama akili zitaruka mpaka nijikojolee bila kujitambua
Inashangaza sana, eti mtu analewa mpaka anajikojolea. Nilikunywa zile zenye jina lako chupa mbili zikakata maana kile kidude ni kitamu jamani and I was okay sasa sielewi nakwama wapi mie nasoma
Nataka siku nijaribu kulewa nikiwa home lakini nione kama nitafikia kwa hawa wanaoitwa walevi, nione kama akili zitaruka mpaka nijikojolee bila kujitambua
Inashangaza sana, eti mtu analewa mpaka anajikojolea. Nilikunywa zile zenye jina lako chupa mbili zikakata maana kile kidude ni kitamu jamani and I was okay sasa sielewi nakwama wapi mie
Nataka siku nijaribu kulewa nikiwa home lakini nione kama nitafikia kwa hawa wanaoitwa walevi, nione kama akili zitaruka mpaka nijikojolee bila kujitambua