Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwa natamani nijaribu siku moja nione namna watu wanavyolewa
Yaani inakuwaje kuwaje hadi mtu kabisa na akili zake analewa[emoji848]
Ukijaribu hiyo siku unatakiwa uwe chumbani umejifungia, maana pombe inakawaida ya kukufanya uwe mduwanzi sana, utapoteza network utafanya mambo makubwa ya kushangaza hasa kwa wageni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…