Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Si ulisema umetoa sadakaYani nimeongea kwa uchungu acha tu hawa ndugu hawa, naikumbuka ile figure acha tu, halafu juzi nimesikia amefungua kituo cha biashara kingine bar na club kimya kimya natamani nijue location natokea kama mzimu, maana ukimkumbushia huwa anasema subiri subiri naumie na nina shida nayo japo na mimi niwekeze kama yeye


