Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Sitaki kuonaMimi napost ya kwangu sasa hivi

Sitaki kuonaMimi napost ya kwangu sasa hivi

Daaaaa naona ziwa la mholanzi hapo....
Ha ha sasa ivi haiwezekani, Nshaanza ku update brainTukuone na Wewe Sasa
Weka tuone unafananaje ukipiga vyomboHa ha sasa ivi haiwezekani, Nshaanza ku update brainView attachment 1594303


USIISHIE KULIA KWA NINI GALLERY YA SIMU YAKO INAJAA KILA MARA. 
*
Angalia upande wa juu kulia na utaona vinukta vitatu na ubonyeze hapo.
Yatatokea maneno haya: *Group info, Group Media, Search,Mute notification, Wallpaper na More*.
Bonyeza sehemu iliyoandikwa *"Group info"*. Ikifunguka utaona maneno haya *:Mute, Notification,Media visibility, Encryption na Group settings*
Bonyeza sehemu iliyoandikwa *"Media visibility"* ambapo yatatokea maneno haya: *Default, Yes, No*.
Bonyeza palipoandikwa neno *"NO"* kisha bonyeza neno *"
"* hapo chini upande wa kulia.


*USIISHIE KULIA KWA NINI GALLERY YA SIMU YAKO INAJAA KILA MARA.
*
Hii ndiyo namna ya kuepusha simu yako kujaa picha,video nk kutoka kwenye magroup uliyonayo.:
(1.) Nenda kwenye group ambalo hutaki picha, video zake nk ziingie kwenye *gallery.*
Angalia upande wa juu kulia na utaona vinukta vitatu na ubonyeze hapo.
Yatatokea maneno haya: *Group info, Group Media, Search,Mute notification, Wallpaper na More*.
Bonyeza sehemu iliyoandikwa *"Group info"*. Ikifunguka utaona maneno haya *:Mute, Notification,Media visibility, Encryption na Group settings*
Bonyeza sehemu iliyoandikwa *"Media visibility"* ambapo yatatokea maneno haya: *Default, Yes, No*.
Bonyeza palipoandikwa neno *"NO"* kisha bonyeza neno *"
"* hapo chini upande wa kulia.
Kwa kufanya hivyo,hata ungekuwa na magroup mia,kamwe gallery ya simu yako haitajaa, maana vitu vyote vitabaki kueleaelea tu ndani ya group.
![]()


Unatofokea mkuu
Uishi kama mfalme na wakati ndugu wanazisubiria hizo hizoFanya kazi kama mtumwa, ishi kama mfalme View attachment 1594264
Ujamaa unaangusha wengi, ila ndio namna yetu ya kuishi, ndugu kwani ni walemavu?hawawezi kufanya kazi pia?yani niamke saa 10 nilale saa 6, afu mtu asubiri jasho langu...Uishi kama mfalme na wakati ndugu wanazisubiria hizo hizo