Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weka tu hapa
Nikishaiona unafuta
Hii hapa
1602242260315_adobe.jpg
 
Ujamaa unaangusha wengi, ila ndio namna yetu ya kuishi, ndugu kwani ni walemavu?hawawezi kufanya kazi pia?yani niamke saa 10 nilale saa 6, afu mtu asubiri jasho langu...
Mifumo yetu afrika, tamaduni zetu miiko yetu ya kiafrika ndiyo ilileta hii mambo ya utegemezi, unafanya kazi utatakiwa usaidie wadogo zako, wajomba, mashangazi wakina bamdogo na mama wadogo mbona tafrani
 
Yani nimeongea kwa uchungu acha tu hawa ndugu hawa, naikumbuka ile figure acha tu, halafu juzi nimesikia amefungua kituo cha biashara kingine bar na club kimya kimya natamani nijue location natokea kama mzimu, maana ukimkumbushia huwa anasema subiri subiri naumie na nina shida nayo japo na mimi niwekeze kama yeye
 
Back
Top Bottom