Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,253
Mafiat mataa.
Hayo matambara yamechafua jiji.!
Disgusting!
Mafiat mataa.
Our City is full of greenMafiat mataa.
Hayo matambara yamechafua jiji.!
Disgusting!

Kwa hiyo unamkana na kumkataa kaka yako?

Wewe waona ni aibuKijana mdogo kama wewe ambae tunakutegemea katika kuleta mabadiliko kwenda kwenye mamikutano ya maCCM ni mambo ya aibu!
Haya mkuuMafiat mataa.
Hayo matambara yamechafua jiji.!
Disgusting!
Mlima Iwambi 'lango la kuzimu'..! Au wapi hapo?Wewe waona ni aibu
Mimi sioni aibu.
Wewe endelea kuwa mfia chama
Mikutanoni nitaenda maana ni haki yangu kusikiliza sera za wagombea kabla sijafanya maamuzi ya nani nimchague
Hata wa Lisu niliendaView attachment 1587410
Sehemu inapokaa mkia mkuu
Wewe ni mwenyeji wa mbeya eeh?Mlima Iwambi 'lango la kuzimu'..! Au wapi hapo?
Hapa amesemaje kuhusu ile diversion ya S.t Mary's seminary? Au ndo tumepotezewa na mwenyekiti muongo muongo?
MmmmmmhSehemu inapokaa mkia mkuu
Home Land.Wewe ni mwenyeji wa mbeya eeh?
Huu mlima unatisha sana.
Mimi huwa naona bora nitembee namna hiyo kuliko kupanda gari hapo
Mkuu siasa ni mchezo mchafu.
Hizo zote ni propaganda tu.
OkeeHome Land.
Unaumwa jino mkuuMmmmmmh
La picha ndiyoHivi hili jukwaa ni la 'kuselfika'?
![]()
Kazi za 'mabeberu'La picha ndiyo
Weka picha kabla hujaondoka
Wewe ni yupi??Kazi za 'mabeberu'View attachment 1587457
Nasubiri uchaguzi upite.Wewe ni yupi??
Umejiziba mno,hatukuoni vizuri
Punguza emoj tafadhali


Nasubiri uchaguzi upite.
Maana bado sijaandaa fighting zone na authority ya Jiwe.
Unataka niwe detained nisilionje hata FAO langu la kujitoa?![]()





