Weka picha acha porojo
Mkuu nitafutie connection ya kaz hapo maana huku Kitaa Hali sio shwari
Hivi kunizungusha karibia mwezi mzima bado tu hutaki kuweka picha?
Bas natumaHivi kunizungusha karibia mwezi mzima bado tu hutaki kuweka picha?
Upo mkoa gani una fani ama ujuzi wowote?Mkuu nitafutie connection ya kaz hapo maana huku Kitaa Hali sio shwari
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba hivyo vinono


Na Mimi naomba koneksheni
ya kubeba hiyo mifukoIle ofa ya konyagi bado ipo mkuu?
Hahahaha Na kilo zako 50 si ndio utakufa wew jamani labda ukaage ghalani kuhesabuNa Mimi naomba koneksheniya kubeba hiyo mifuko
Ziko 60 saiviHahahaha Na kilo zako 50 si ndio utakufa wew jamani labda ukaage ghalani kuhesabu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Hahahaa dogo langu utavunjika kiuno bure ushindwe timiza Yale majukumu mengine hizi waachie wanaumeZiko 60 saivi
Wewe nipe kazi,ili mradi hela inapatikana