Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nilitoka JanaLeo introvert ametoka nje?!![]()

Nilikuwa kumsikiliza JPM
Nilitoka JanaLeo introvert ametoka nje?!![]()

Mimi huwa napenda tu vile huwa unafunga mshipi.Hakuna kama kuweka moyo wako kwa bwana yaani
matako ni nini mkuu.Nilianzisha mimi na ule msemo wa hamusini hamusini mia yaani vile mat@ko yanacheza na kupishana kulia na kushoto mwanamke akiwa anatembea
Habari za asubuhi mkuu
Hasa mbona umetoa Ile nyingine na blauzi pendwa ya kijani.
Afafhali umekuja mama mchungaji
Nilivaa gauni niliyoiweka pale juuHasa mbona umetoa Ile nyingine na blauzi pendwa ya kijani.
Nimeona ulikuwa unanikorofisha huko juuAfafhali umekuja mama mchungaji
Shusha selfie
HahahaMimi huwa napenda tu vile huwa unafunga mshipi.Hakuna kama kuweka moyo wako kwa bwana yaani
😂😂 mi mbona si mkorofi mama mchungajiNimeona ulikuwa unanikorofisha huko juu
Nimeshafika kupata upako mkuuMjep njoo tunasalimiwa huku na mtakatifu
mi mbona si mkorofi mama mchungaji
HahahaNimeshafika kupata upako mkuu
Acha kucomplicate mambo.
Daah selfie wengine tunatishaAcha kucomplicate mambo.
Piga selfie


Hivyohivyo
Madam nishushe mzigo?Hivyohivyo
Kwani lazima kupendeza?
Shusha.ingawa nimedandia treniMadam nishushe mzigo?