Leo nikiwa kwenye harakati mitaa ya Mbagala kizuiani nikaona daladala lako mkuu.Karibuni tukule dinner View attachment 1586053
Nimejikuta nafurahi na kucheka 😅😅Leo nikiwa kwenye harakati mitaa ya Mbagala kizuiani nikaona daladala lako mkuu.
Hongera sanaView attachment 1586135
Chakorii si katoto flani hivi katundu katundu kwenye tamthilia ya kihindi??Nimejikuta nafurahi na kucheka
Nashukuru kwa kuniokotea daladala langu mkuu
Kwa heshima..natoa hiyo picha naiweka daladala yangu![]()



Ewaaaaaaa umepatia kabisaChakorii si katoto flani hivi katundu katundu kwenye tamthilia ya kihindi??![]()
🤣🤣🤣🤣hivi ni nani aliyeanzisha hako kamchezo ka singida dodom 😅😅😅
Mimi hapahivi ni nani aliyeanzisha hako kamchezo ka singida dodom
![]()
Weee ujikute tu😆😆😆Mimi hapa
Ni Saint Anne🤣🤣🤣🤣hivi ni nani aliyeanzisha hako kamchezo ka singida dodom 😅😅😅
🥂🥂
Nilianzisha mimi na ule msemo wa hamusini hamusini mia yaani vile mat@ko yanacheza na kupishana kulia na kushoto mwanamke akiwa anatembeaWeee ujikute tu![]()

Ntumie mie P.MMpka kesho nikienda mjini nitapiga kwa ajili ya kutupia huku rafiki
Nimemiss rafiki yangu Saint Anne nimeona nimuite kwa njia hii aje ajiselfishe
Wee thubutuuuuu hakuna mtu atakupiga wakati mimi nipo..labda niwe nimesafiri..Nimemiss rafiki yangu Saint Anne nimeona nimuite kwa njia hii aje ajiselfishe
Akinipiga si utanisaidia mkuu
Bwana harusi hutulii kabisa😅😅Ntumie mie P.M
Hahahah 😂😂😂 ni raha tuBwana harusi hutulii kabisa😅😅
Guu la Taifa!Guu la bia![]()