Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Sanaaaaa
Sanaaaaa
Nzuri tu mkuu za kwakoHabari za mida mkuu
Nini kimetokea.nimekujaAnaitwa Chakoriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Za kwangu njema/salama kabisaNzuri tu mkuu za kwako
VizuriZa kwangu njema/salama kabisa
Ugumu wa nini Elly
Wa mimi kunifanya niwe wako hata kama nimewahiwa kwangu siyo tatizoUgumu wa nini Elly

Safi Sana nimekipenda hicho chakula,very nice
Ntajitahidi babaUnatakiwa usimtamani tena si umeshaoa, mtamu mkeo tu
Vipi mkuu Habari ya hanimuniNtajitahidi baba
Hahahah aisee huku "Asalimwezi" ni burudani mpaka natamani kama ndoa ibakie hapa hapa forever. Hii ndio ile maisha kila baharia anataka 🤣🤣🤣Vipi mkuu Habari ya hanimuni
Hadi nataman ka nikualike hivi😂😂😂Vipi mkuu Habari ya hanimuni
😅ndoa ni vile unavyotaka iwe arifu..Hahahah aisee huku "Asalimwezi" ni burudani mpaka natamani kama ndoa ibakie hapa hapa forever. Hii ndio ile maisha kila baharia anataka 🤣🤣🤣
Umeanza mabalaa extro 🤣🤣🤣Hadi nataman ka nikualike hivi😂😂😂