Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Late lunch / early dinner....
View attachment 1568757
ngoja nikapikeLate lunch / early dinner....
View attachment 1568757
ngoja nikapike😁😁 Ulikuwa unaona uvivu??ngoja nikapike
Mimi nashabikia club kubwa buanaBora aisee na ulivo modal ukijihusisha na hii timu utabaki mwili Kama wema sepetu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app




Asenali siiwezi mie ila nitatafuta mume wa aseno maana ni wavumilivu sana
MnoUlikuwa unaona uvivu??



Mimi nashabikia club kubwa buana
Asenali siiwezi mie ila nitatafuta mume wa aseno maana ni wavumilivu sanaView attachment 1568761





wavumilivu mno Ila usijaribu wa Manchester ni Kama wahaya kujigamba Wale mwanitesa utd wana tabia za kishamba walewavumilivu mno Ila usijaribu wa Manchester ni Kama wahaya kujigamba
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app





kwanza ile sio timu kabisa,Bora nishabikie mtibwa


Heh!she's a lady alafu anajua footballWale mwanitesa utd wana tabia za kishamba wale
Kwanza wengi wanafata mkumbo walekwanza ile sio timu kabisa,Bora nishabikie mtibwa
![]()

Wale mwanitesa utd wana tabia za kishamba wale
Kwanza wengi wanafata mkumbo walekwanza ile sio timu kabisa,Bora nishabikie mtibwa
![]()







wanaitwa nyumbu united kufuata mkumbo siunajua nyumbu walivo anaeza anza kimbia with no reason Bora ushabikie ihefuKwani huko hamjui mpira?Heh!she's a lady alafu anajua football
Heh! Kumbe huku Lake Zone bado![]()
Nimelewa nikisimama naanguka😀😀
Ongeza na nyingine uliyosimama![]()
Yaani wana tabia za nyumbu kweliwanaitwa nyumbu united kufuata mkumbo siunajua nyumbu walivo anaeza anza kimbia with no reason Bora ushabikie ihefu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app


Unaninyima kuona nini?Nimelewa nikisimama naanguka![]()

Wadada wa huku hawajui kuhusu football ni kazi muda woteKwani huko hamjui mpira?

Itakuwa wewe hujui kama wanajua futiboliWadada wa huku hawajui kuhusu football ni kazi muda wote![]()
Una mseti tu mwamba anajilipua
Ongeza na nyingine uliyosimama![]()

Mmh!hata wakijua wanamjua tu Kagere sio wide kama wewe apoItakuwa wewe hujui kama wanajua futiboli

naweza pata hiyo garlic bread
Kwani kuna nini tena
Weee ...😅😅😅Ndio ndio chibonge.