Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,499
- 235,200
[emoji7]ngoja nikapikeLate lunch / early dinner....
View attachment 1568757
[emoji7]ngoja nikapikeLate lunch / early dinner....
View attachment 1568757
😁😁 Ulikuwa unaona uvivu??[emoji7]ngoja nikapike
Mimi nashabikia club kubwa buanaBora aisee na ulivo modal ukijihusisha na hii timu utabaki mwili Kama wema sepetu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Mno [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] Ulikuwa unaona uvivu??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wavumilivu mno Ila usijaribu wa Manchester ni Kama wahaya kujigambaMimi nashabikia club kubwa buana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asenali siiwezi mie ila nitatafuta mume wa aseno maana ni wavumilivu sanaView attachment 1568761
Wale mwanitesa utd wana tabia za kishamba wale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wavumilivu mno Ila usijaribu wa Manchester ni Kama wahaya kujigamba
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Heh!she's a lady alafu anajua footballWale mwanitesa utd wana tabia za kishamba wale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza wengi wanafata mkumbo wale [emoji1787][emoji23]kwanza ile sio timu kabisa,Bora nishabikie mtibwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji7]View attachment 1568767
Here it is Saint
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanaitwa nyumbu united kufuata mkumbo siunajua nyumbu walivo anaeza anza kimbia with no reason Bora ushabikie ihefuWale mwanitesa utd wana tabia za kishamba wale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza wengi wanafata mkumbo wale [emoji1787][emoji23]kwanza ile sio timu kabisa,Bora nishabikie mtibwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani huko hamjui mpira?Heh!she's a lady alafu anajua football
Heh! Kumbe huku Lake Zone bado[emoji850]
Nimelewa nikisimama naanguka😀😀[emoji7]
Ongeza na nyingine uliyosimama[emoji2960][emoji847]
Yaani wana tabia za nyumbu kweli[emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanaitwa nyumbu united kufuata mkumbo siunajua nyumbu walivo anaeza anza kimbia with no reason Bora ushabikie ihefu
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Unaninyima kuona nini?Nimelewa nikisimama naanguka[emoji3][emoji3]
Wadada wa huku hawajui kuhusu football ni kazi muda wote[emoji23]Kwani huko hamjui mpira?
Itakuwa wewe hujui kama wanajua futiboliWadada wa huku hawajui kuhusu football ni kazi muda wote[emoji23]
Una mseti tu mwamba anajilipua [emoji3][emoji7]
Ongeza na nyingine uliyosimama[emoji2960][emoji847]
Mmh!hata wakijua wanamjua tu Kagere sio wide kama wewe apo[emoji4]Itakuwa wewe hujui kama wanajua futiboli
naweza pata hiyo garlic bread
Kwani kuna nini tena
Weee ...😅😅😅Ndio ndio chibonge.