cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,238
Sawaah dea nkajua na wee unatumia, mmmmhSinywagi dear..nimepiga nayo picha tu
Sawaah dea nkajua na wee unatumia, mmmmhSinywagi dear..nimepiga nayo picha tu
Nilikumiss mama mchungaji jomoneeeeeh.
DuhMkuu mwanadada amekuelewa acha kuvunga, cheo unapandishwa, toka msela mpaka mume
Washana hawachezi mpira, wao ni vyuma tu mzee!!
Nimerudi tenaNilikumiss mama mchungaji jomoneeeeeh.
Marahabaa dogo, hujambo?@Jael
Sijambo dada yanguMarahabaa dogo, hujambo?
Happy birthday baby love wa linahbaby, uishi maisha marefu![]()


tupe na vitambulisho jf wote watujue 
Sawa nitamusalimia.....Msalimie SHIMBA YA BUYENZE
Mwambie ahadi ni deni.
Achna na mtu chake wacha aone wivumtu chake na SHIMBA YA BUYENZE mpaka wanapatwa na wivu eti jinsi mnavyoitana

Utashi wao utakuwa mdgoKha itabidi tupunguze kuitana hivi wengine wanaelewa vingine .


Habari ya leo Rafiki ?Utashi wao utakuwa mdgo![]()
Naviomba hvyo vya pili kutoka mwisho mkuu
Aww dearest love you too ...
Nilivo nauchu mimi nikiona tu nalamba simu tusitesane bhna wakat hamtaki kutualika