Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimewatania msiache kuitana hivyo mnapendezea kwa kweli,
Hakika the first time namjua baby Tansy japo sijawahi muona kwa sura yaan nilifill like dada angu kabsa tumbo moja the way anavo care, yaan anashauri vzuri,anajulia hali,hana maneno ya kumuuzi mtu yaan ni mtu frani hvi simple hana kokoro wala mbwembwe ametulia iko ndo kitu nampendea..nilimuita dada akaitika yaan naonaga raha sana mwisho ananiitaga majina mazuri mazuri tu I LOVE YOU Tansy
 
DCABF104-32AF-4CD6-AA29-37253EFFB85B.jpeg
 
Hakika the first time namjua baby Tansy japo sijawahi muona kwa sura yaan nilifill like dada angu kabsa tumbo moja the way anavo care, yaan anashauri vzuri,anajulia hali,hana maneno ya kumuuzi mtu yaan ni mtu frani hvi simple hana kokoro wala mbwembwe ametulia iko ndo kitu nampendea..nilimuita dada akaitika yaan naonaga raha sana mwisho ananiitaga majina mazuri mazuri tu I LOVE YOU Tansy

Uwii unanipa kichwa mimi sijui kitafika wapi aisee nashukuru kwa kuona hivyo I'm loss at words to say but thank you so much for writing this

You’re such a kind friend no one will ever do without You’re indeed a companion.
Love you linahbaby
 
Hakika the first time namjua baby Tansy japo sijawahi muona kwa sura yaan nilifill like dada angu kabsa tumbo moja the way anavo care, yaan anashauri vzuri,anajulia hali,hana maneno ya kumuuzi mtu yaan ni mtu frani hvi simple hana kokoro wala mbwembwe ametulia iko ndo kitu nampendea..nilimuita dada akaitika yaan naonaga raha sana mwisho ananiitaga majina mazuri mazuri tu I LOVE YOU Tansy
Hakika hizi sifa zinamfaa Tansy, anastahili kupendwa, anastahili yote uliomuelezea, ukikutana nae utampenda zaidi she is pretty , ana upendo, naunga mkono hoja
 
Hakika hizi sifa zinamfaa Tansy, anastahili kupendwa, anastahili yote uliomuelezea, ukikutana nae utampenda zaidi she is pretty , ana upendo, naunga mkono hoja
OMG Asante kwa kuona hivyo nashukuru aisee

msinipe kichwa hivyo jamani I'm just an ordinary girl
 
Back
Top Bottom