Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dah!mwandiko umenipa shida shule kweli..
Walimu walikuwa wananiomba niandike notsi ubaoni ilikua inanikera..

Halafu sasa kila mwalimu akiingia darasani Nyie wanafunzi andikeni Kama zagarino..!

Na rafiki zangu walikuwa wanaomba niwaandikie notsi ilinikera
Hongera sana, Ila kuandika notes ubaoni& kuandikia watu naona ilikuwa advantage kwako maana unakuwa ndo ushasoma kabisa tena btn lines.
 
Back
Top Bottom