HAPANA SIYO WEWE HATA KAMA SIKUJUI/SIJAWAHI KUKUONA ChakoriiAches basi mambo yenu??huyo ndo mimi wakuu
I'll but privately 😆We dogo ujue nakuamini sana ndo sbb nimekuita uthibitishe hapa
Aisee Chakorii unaihitaji uthibitisho gani tena mkuu wangu maana kaka mkubwa kaandika kwa herufi kubwa kabisa kusisitizaHAPANA SIYO WEWE HATA KAMA SIKUJUI/SIJAWAHI KUKUONA Chakorii
Huu mwandiko haujapishana na wangu. Njoo nikupe hapa cheques deposit unisaidie kujaza....Ila weww si wa kunicheka joanah
View attachment 1546662
Ohoooo kumekucha..hebu niambie kam sifananii na huyo basi nafanana vipi mkuuHata kama Chakorii sijawahi kuona picha yake wala kumuonana yeye
Hiyo picha siyo picha yake na wala siyo yeye mkuu Mjep
Mwandiko wake na muonekana wa hiyo picha(sura)ni vitu viwili tofauti mkuu
Kwa hiyo naungana na wewe kupinga/kukataa siyo Chakorii huyo.
Pole sana mkuu wangu, nitakupoza kidogo maumivu hayaSina nyingine zaidi ya hiyo.nimeumia mno😅😅
Mtoto kumbe unafaa kupigwa spana kabisa 😎!!! Uko njema sana
🙏Mwandiko mzuri wa ku sign cheque
Huyu shoga yako karuka mbali kabisaaaNaona umesharuka kiunzi😅😅
😢😢😢😢HAPANA SIYO WEWE HATA KAMA SIKUJUI/SIJAWAHI KUKUONA Chakorii
😊😊😊nakuja fastaHuu mwandiko haujapishana na wangu. Njoo nikupe hapa cheques deposit unisaidie kujaza....
Yani nimemuona aisehHuyu shoga yako karuka mbali kabisaaa
😅😅😅😅😅😅😅😅Mtoto kumbe unafaa kupigwa spana kabisa 😎!!! Uko njema sana
Nisamehe lkn kama nimekukwaza mkuuSina namna ya kuthibitisha mkuu
Safiii, hilo lips limebeba ujumbe mahususi..😅😅😅😅😅😅😅😅
Naomba nifundishe kuandika kama wewe