Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Hii ni lindi sehem inaitwa magereza
AkhsanteSimu nyingi za Android zina app ya Google photos kama hauna download play store baada ya kuifungua itakuletea picha zako nenda kwenye option tafuta setting click backup & sync utaset njia ya kufanya backup either wi-fi au cellular network .
Huwa najisikia uvivu kuhamishaPole uwe unasave hata kwenye Pc
Ngoja na Mimi nianzeMie huwa nasave google drive! Sema huwa nasave vitu vya muhimu tu siyo picha zangu aisee!
Mbali na mapaja hiyo picha haina lolote. Hata msosi wenyewe haueleweki. Kungekuwa na kiugali cha Kisukuma pembeni labdaNimeona mapaja tu.





Dogoyo ng'wa minze.....
Ng'wagūkū bageshi?Dogoyo ng'wa minze.....
Eng'washi bhageshi....Ng'wagūkū bageshi?
Mwabejaaaa.Mbali na mapaja hiyo picha haina lolote. Hata msosi wenyewe haueleweki. Kungekuwa na kiugali cha Kisukuma pembeni labda![]()
Fanya hivyo dear picha ni kumbukumbu nzuri .Akhsante
Ngoja nisave kabisa
Yaani kuna vitu vimepotea nimeumia roho
Hebu kakojoe ulale.Mwee hivi mbona mama haniitagi hivi
Sijambo baba nimekumiss mno![]()
Nipe hela.
Acha mambo ya ajabu basi..😅😅😅ugali ulienda likizo 🤣🤣Mbali na mapaja hiyo picha haina lolote. Hata msosi wenyewe haueleweki. Kungekuwa na kiugali cha Kisukuma pembeni labda![]()
Ana malezi ya kijaluo mama yakoMwee hivi mbona mama haniitagi hivi
Sijambo baba nimekumiss mno![]()

, tuendele kumvumilia tu mwanangu!!