Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sawa hilo limeisha maana nami Niko ktk maombi ya kutafuta ,Rafiki ,kisha mchumba ,mwisho awe mke

Naona humu pakugumu, nimehamia Kanisani kwa waumini
Ohooo Amen 🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️

Huko kanisani utapata tu maana wengi Wana kimbilia huko rafiki.mtafute yule anaenena kwa lugha sana na kulia inawezekana akawa ndie mwenye uhitaji.

Huku pagumu mno..
Lakini rafiki ndo umeamua kuamkana wife live sio
 
Hahahaha, Rafiki wife hakanwi namtafutia msaidizi wa Karibu
Kwahiyo unamtafutia mchepuko(in joti’s voice)😅😅

Rafiki umetisha.kama ni msaidizi huku utapata..tatizo watatulia?wataacha kuomba hela??😅😅😅😅😅mana ndo ugonjwa huu.

Akipatikana mwenyewe kukuelewa nitakuita maana naonaga majukwaani huko😅😅
 
Kwahiyo unamtafutia mchepuko(in joti’s voice)

Rafiki umetisha.kama ni msaidizi huku utapata..tatizo watatulia?wataacha kuomba hela??mana ndo ugonjwa huu.

Akipatikana mwenyewe kukuelewa nitakuita maana naonaga majukwaani huko
Hahahaha, Rafiki mm nazingua tu humu .Nina Mke mzuri ana sifa zote

Na pia wa humu sisawezi wakishua sana humu
 
Kwahiyo unamtafutia mchepuko(in joti’s voice)

Rafiki umetisha.kama ni msaidizi huku utapata..tatizo watatulia?wataacha kuomba hela??mana ndo ugonjwa huu.

Akipatikana mwenyewe kukuelewa nitakuita maana naonaga majukwaani huko
Hahahaha, ahsante Rafiki, potezea tu, humu ni chit chat tu

Km kutumiwa hela iwe ki Rafiki ktk kupigana tafu tu kawaida ,sio mizinga km tuko jeshini
 
Hahahaha, Rafiki mm nazingua tu humu .Nina mke mzuri ana sifa zote

Na pia wa humu sisawezi wakishua sana humu
Asante rafiki na Mungu aendelee kukutunza uendelee kumsifia wife kila mara..sio wanaume wote huwasifia wake zao🤛🤛🤛🤛🤝🤝🤝🤝👌👌👌👌

Kama wale wa mtaani ndo wa huku rafiki,,sasa wale wenye maisha ya kawaida kabisa huwa wanatokeaga sayari gani??
 
Back
Top Bottom