Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Au labda atakuwa Anatumia JF ya moto🤣🤣🤣🤣Nothing dear uwe na amani aliye nivuruga ata jf hatumii ila nilitaka furah tu kutoka jf na nimefurahi tyr
Au labda atakuwa Anatumia JF ya moto🤣🤣🤣🤣Nothing dear uwe na amani aliye nivuruga ata jf hatumii ila nilitaka furah tu kutoka jf na nimefurahi tyr
Kweli kabisaWacha weee🤣🤣🤣
Siri ya kambi haisemwi madam afe beki afe kipa.
Pure Coca-Cola kabisa mkuuHiyo glass si ya coka ya kawaida..kuna nini katikati ya coca mkuu![]()

🧐🧐🧐🧐🧐🧐Pure Coca-Cola kabisa mkuu![]()
Hauamini?
HapanaHauamini?
Au ule wimbo wa Ditto-moyo sikuma damu😅😅😅JehovahKweli kabisa
Imagine unasema halafu unachuniwa hiyo feeling sijui unajiskiaje moyoni ..ukitoka hapo unasikiliza wimbo wa moyo kutoka vee money
Picha bomba sana hii umependeza
Hahha ke ukiachwa kwenye mataa inauma sana utawafollow wakina maisha halisi ujiunge group elfu kumi upate ushauri muruaAu ule wimbo wa Ditto-moyo siku mema damu😅😅😅Jehovah
Nani alikwambia mapenzi yanashaurika madam😅😅😅ni mwendo wa kupigwa hela kama kichaa...Hahha ke ukiachwa kwenye mataa inauma sana utawafollow wakina maisha halisi ujiunge group elfu kumi upate ushauri murua
You're right kuna jamaa alilipia for a month lakini hamna jipya mule zaidi ya nyie wataka ushauri ndo mtakuwa mnashauriana zaidi .Nani alikwambia mapenzi yanashaurika madam😅😅😅ni mwendo wa kupigwa hela kama kichaa...
Utaumia kwa muda ila ukiamua kudharau hakuna kitu unashindwa fanya...
Unampenda mtu akikuletea miyeyusho unahama unaenda kuota kwa mwingine 😅😅😅
Wacha weee...kwa hiyo ikala kwake pasee😅😅You're right kuna jamaa alilipia for a month lakini hamna jipya mule zaidi ya nyie wataka ushauri ndo mtakuwa mnashauriana zaidi .
Hahha eti unaenda kuota kwa mwingine .