Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,388
- 88,763
Kuna siku nilikua napita nikaenda nunua kuku mnafu na chips nikale home. Nimeingia kwenye uber ile harufu nikashindwa kuvumilia. Hata tangi bovu sikufika nikamaliza chakula changuMbuzii wa hapo ni nomaa mkuu..wanachoma na chumvi tu unapata ile ladha halisi ya mbuzi











