Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu na harakati za kila siku
IMG_20200816_165805.jpg
 
Ni nouma mangi..

Usikutwe na Bwana Pepsi.
Jana ilibaki kidogo nikupe onyo mana kuna sehemu niliona unaliwa Timing

Ila nikakumbuka wewe mzee wa mjini huwezi kuingizwa line
Hahaha

Mtu chake bhana , alikuwa anaingia kwenye shimo la Ngiri kwa kichwa..
pm kuchungu tu pm chache sana tamu,imagine unachat na mtu pm..

ila wote mnaliana denge yani mpk uotee mtu muende sawa pm shughuli..

ndio maana nayakataga mawasiliaano ya kule maana sionagi hata utofaut na huku nnje...
Bora umewahi mapema kujifunza theory maana

ungechelewa kidogo tu ungejifunza Practical na

hamnaga mwanafnzi wa practical haelewi,somo lingekukaa ipasavyo.
Hahahaha, wadau mmenichekesha sana , kuna kitu nimejifunza
 
Back
Top Bottom