Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha muwe mnatutumia tu jamani, zile hela zinakuwaga tamu sana sijui kwanini...
kweli zile hela tamu sana huwa inakuaga kama ile unatembea

ghalfla msimbazi huu hapa chini,utamu wake n undifined yani

sema hamna kitu inauma roho na inatia simanzi kama ile unatuma nauli "mtu hatokei"

ile maumivu yake unaweza tamani hata apite mtu akukere ummalizie hasira sema ndio

hyo siku hamna ataekukera wala kukuudhi kwahyo unabaki na donge lako moyoni linatokota.
 
Vema kama unachezwa na chale...

Piemu ni kutamu na wakati huo huo kunaweza kuwa kuchungu..
pm kuchungu tu pm chache sana tamu,imagine unachat na mtu pm..

ila wote mnaliana denge yani mpk uotee mtu muende sawa pm shughuli..

ndio maana nayakataga mawasiliaano ya kule maana sionagi hata utofaut na huku nnje...
 
Yani huu uzi kuna watu watautolea shuhuda siku 1 ulivyowaumiza...

tusubiri tu hizi shuhuda mwakani mwakani hivi kuendelea,saivi acha...

wanaowekwa kwenye mabano wawekwe,ila najua soon shuhuda zitaanza...
 
Yani huu uzi kuna watu watautolea shuhuda siku 1 ulivyowaumiza...

tusubiri tu hizi shuhuda mwakani mwakani hivi kuendelea,saivi acha...

wanaowekwa kwenye mabano wawekwe,ila najua soon shuhuda zitaanza...
Usitutetemesheeeee na usitushirikisheeeee
 
20200816_144254.jpg
20200815_201907.jpg
 
Back
Top Bottom