Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Hii nzuri#Sneakerhead
View attachment 1538420
Hii nzuri#Sneakerhead
View attachment 1538420
❤️#Sneakerhead
View attachment 1538420
Nimelipenda bafu lako zuri sana,je unaweza ukatoa karose usoni please.Sijaona jamani 😔😔😔
Huwa nakuta mshafuta tayari....🥴🥴View attachment 1538370
Ndiyoo 😀
😄😄😄😄 Langu niringe????🥴🥴Nimelipenda bafu lako zuri sana,je unaweza ukatoa karose usoni please.
Ngoja nijaribu.😄😄😄😄 Langu niringe????🥴🥴
Kaflower kanasogea tu...jaribu🤓
Dawa ya corona au menu Mr Roger?
Haha amu kama amu, mwenye michano yake... Sindikizia basi na kapicha...Yaani Depal hiyo imechanwa kistaarabu mno.
Taasisi yoyote ya watu binafsi unaingia nayo na unahudumiwa kwa heshima zote.
Bana bana kuna michano mengine ni balaaa.
Halafu imechanwa chanwa, kichwani kuna bleachna nywele zenyewe hazijachanwa pia zimevurugwa
.
hahah....nataka ...utaniona insha Allah mamaa..ucjalHutaki nikuone?![]()
Haha amu kama amu, mwenye michano yake... Sindikizia basi na kapicha...
Kuna siku nilivuruga nywele sema ilikuwa na dawa nikaenda nayo ofisini...staff mmoja mileage za kutosha akanambia we mbona leo hujachana nywelenikamwambia mama hii style tu



Hahaa..! Umefikia kwenye yellow light kuingia Uzeeni nini?Nataka niendane na Kasi ya vijana nisije sumbua uzeeni![]()
Hahaa..! Umefikia kwenye yellow light kuingia Uzeeni nini?



Ili mvurugo unoge usiweke dawa mama.Haha amu kama amu, mwenye michano yake... Sindikizia basi na kapicha...
Kuna siku nilivuruga nywele sema ilikuwa na dawa nikaenda nayo ofisini...staff mmoja mileage za kutosha akanambia we mbona leo hujachana nywelenikamwambia mama hii style tu
Hahahaha, nadhani imeisha salama mpk sasaMimi ni poa sana rafiki na wikend naona imeanza vizuri mno....naendelea kuomba iishe salama
Lini hiyo?hahah....nataka ...utaniona insha Allah mamaa..ucjal
Ki figure flan hv kinaonekanaEeh suruali imechanika!
Nice figure
Leo humu mwendo wa jeans tu na vi figure , kweli week end