Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
ingependeza kama ningeona sample ya hivyo "vinavyosemekana" vya kiume.



usijali ngoja siku nikivipendezesha kidogo na tips na nail polish nitavitumaingependeza kama ningeona sample ya hivyo "vinavyosemekana" vya kiume.



usijali ngoja siku nikivipendezesha kidogo na tips na nail polish nitavitumaBAK BAK BAK nimekuita Mara tatu kwa upole🤣🤣🤣🤣🤣




Ushamba mzigo
Sijui hata jina lake
na wewe unavaa hizo zilizochanwa magotini dada
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Si ndiyo maana nimejitolea kukufundisha bana; nakuaje wa Mbeya mwenzangu![]()
Mbona jeans imechanwa kistaarabu mno mweee kuna michano mingine noumaNa mimi nifundishe kuweka hair bleachingthen this shit goes with mazingiraling.... Hapo ilikuwa Lake Manyara ni ngumu kwenda nimevaa mgauni.
BAK BAK BAK nimekuita Mara tatu kwa upole🤣🤣🤣🤣🤣
Wallah usitake nikukomalie kudai picha.
Weka tu hapa mwenyewe 😊
Haha kwani hutujui wana JF dada? Tuzoee tuMbona jeans imechanwa kistaarabu mno mweee kuna michango mingine nouma
Ndiyo, chini nasindikiza na buti la jeje



aisee kwahiyo huwa unavaa kichugachugaSijaona jamani 😔😔😔Zangu niliweka pale juu.
Naomba nikuone full pic dada angu mzurinitumie hata PM pls
Umemaanisha Michano!??Mbona jeans imechanwa kistaarabu mno mweee kuna michango mingine nouma
Safi
Tukuone ndani ya hiyo ripped jeans basi.Namalizia kuwafundisha hawa kuvaa ripped jeans
Haha akuje hapa me anifurahishe machoUmemaanisha Michano!??
Hapo kwenye michano nakukubali
Beautiful 😍😍😍Sijaona jamani 😔😔😔
Huwa nakuta mshafuta tayari....🥴🥴View attachment 1538370
Nami naunga mkono hoja,nipo hapa nasubiri...Haha akuje hapo me anifurahishe macho
Tusiopenda kumbe tupo wengi tu 😍Sijaona jamani 😔😔😔
Huwa nakuta mshafuta tayari....🥴🥴View attachment 1538370
Ndio nimunawekaga mafoto mingi hivi ( in congolese vocal)


Ila sasa ya size ile ninayo machacheWewe tutaongea lugha moja sasa![]()