Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
I'm here here
Kwedraaaaaa!
Kwedraaaaaa!
Tatizo ni huu upendo wangu kwako; nakuonea huruma sana kuikosa JFAtatia huruma mama angu



mama hawezi kujitoa jamani wee weka tuMimi nikiweka kitu sifuti kamwe



Kudabua ndio kufanyaje?Ningekuwa nadabua wanawake ningekuwa nshakudabua![]()
Kudabua ndio kufanyaje?







. Dah!Mtumishi weka picha. Nimekaa hapa masaa manne nasubirisha huyu mkorofi Jael ajitokeze ukate mzizi wa fitina. Timiza ahadi yako mtumishi mwema. Nadhiri ni lazima iheshimiweAmekuja kuniomba PM nisipost: hawezi kukaa nje ya JF



Amekuja kuniomba PM nisipost: hawezi kukaa nje ya JF
Weeeee mbona ningeshukuru jamani





Maparachichi yameisha?
Hutaki atimize ahadi yake? We nawe vipi?Akikusikiliza mimi na yeye undugu wafa leo.