Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Muite basi Jael aje hapa; bila hivyo atabisha kutoka JFUsisahau kunitag Nkamu gwangu
Sent from my SM-P601 using JamiiForums mobile app
Muite basi Jael aje hapa; bila hivyo atabisha kutoka JFUsisahau kunitag Nkamu gwangu
Siendi popote nipo hapa hapa nasubiri
Endelea kuchochea karama yako ya uvumilivuSiendi popote nipo hapa hapa nasubiri
Jael njoo huku upesi unatukosesha pichaHapana. Jael alisema eti siku mimi nikijiselfisha, atajitoa mazima Jf. Ndo nataka nipost na aione ili atoke JF
Sent from my SM-P601 using JamiiForums mobile app




Kama konyagi ingekuwa ni mtu, wazee wa kijitonyama, mikocheni hapa wapi?View attachment 1534434
Khaaaah!! Usinitetemeshe

Msukuma gani una roho mbaya hiviUlishawahi kweli kujiselfisha hapa mtumishi?
Huyo Jael ameshaondoka. Rusha haraka halafu uifute kabla hajarudi![]()



Weka nijitoe.Hapana. Jael alisema eti siku mimi nikijiselfisha, atajitoa mazima Jf. Ndo nataka nipost na aione ili atoke JF
Sent from my SM-P601 using JamiiForums mobile app
Kwendraaaa!
Umekosea tu kwenye kinywaji....
Na bado!Ni za uso tu nanistopu dah![]()
Tatizo ni huu upendo wangu kwako; nakuonea huruma sana kuikosa JFWeka nijitoe.
Atatia huruma mama angu
Kwedraaaaaa!Tatizo ni huu upendo wangu kwako; nakuonea huruma sana kuikosa JFAtatia huruma mama angu