Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Jioni njema kwako piaNjema jioniView attachment 1534235
Jioni njema kwako piaNjema jioniView attachment 1534235
Nasoma kiarabu tu hapa!Njema jioniView attachment 1534235

Usijari dea, yaan now tyme nasikiliza gospel song, hadi najisikia amani, nta u download mwaya.Singer:John D PsalmistLeo naomba
Song: Power in the blood
Leo naomba udownload wimbo huo mmoja wa gospel usikilize
Nitabarikiwa sana
Mungu akijaalia miaka ya mbeleni natamani niende pale Teku nikajiongeze kidogo kiimani
We sio Hawachi kweli 😶Njema jioniView attachment 1534235
Huhuhuuh hicho kindoki mie nakaa wapi hapo? Hebu acha utani khaaaaahAcha dharau,chuma cha kijerumani hicho
AmenNumuona kabisa Yesu ndani yako mtumishi!Naona na mshipi umefunga kabisa
Usijari dea, yaan now tyme nasikiliza gospel song, hadi najisikia amani, nta u download mwaya.




Usijari mama mchungaji, ntausikiliza moah na most
Baadaye nitakukumbusha tena uusikilize huo wimbo.
Nafsi inanisukuma kukupa huo wimbo..ukiusikiliza nafsi yangu itapata amani![]()



Hapana.. sie mimiWe sio Hawachi kweli![]()
I know that you can do all things,and no purpose of thine can be thwarted.View attachment 1534192View attachment 1534193
Mama mwamposa tafadhali endelea kuilinda imaniI know that you can do all things,and no purpose of thine can be thwarted.View attachment 1534192View attachment 1534193
Hahah eti sio kivileSio kivilee lakini
I wish ungenibatiza jina la mtoto wa MwakasegheMama mwamposa tafadhali endelea kuilinda imani

AkhsanteUmependeza
Kumbe na wew baba wako wa kiroho ni Mr Cris mwakasege big up mtoto wa mwakasegeI wish ungenibatiza jina la mtoto wa Mwakaseghe![]()