Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,181 blackcornshman said: Kwani humu mtu akikubandika jina kwani anakulisha?tumo humu kufurahi tu. Click to expand... Ndio hapo sasa Wakitupachika Wala hatupungukiwi chochote na maisha yanasonga na sisi tutabaki kuwa sisi Yaani tatizo Watu ukiwashinda hoja wanaanza kukuvamia mwenyewe...jf huwa inanichekesha Sana
blackcornshman said: Kwani humu mtu akikubandika jina kwani anakulisha?tumo humu kufurahi tu. Click to expand... Ndio hapo sasa Wakitupachika Wala hatupungukiwi chochote na maisha yanasonga na sisi tutabaki kuwa sisi Yaani tatizo Watu ukiwashinda hoja wanaanza kukuvamia mwenyewe...jf huwa inanichekesha Sana
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Aug 9, 2020 #67,182 Mkokaa said: Governers boardroom tips 🤪 Click to expand... Mbona vya Dar tena? Wacha bange 😂
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,183 Bmichy68 said: nataka kujua ili nikija nijifunze Zaidi ya mwandiko kutoka kwako madam wangu Click to expand... Sijui kitu gani kingine kizuri ninacho
Bmichy68 said: nataka kujua ili nikija nijifunze Zaidi ya mwandiko kutoka kwako madam wangu Click to expand... Sijui kitu gani kingine kizuri ninacho
Tanayzer JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 3,005 Reaction score 7,384 Aug 9, 2020 #67,184 Saint Anne said: Tanayzer picha zako kesho naomba uzirudie tena kuziweka Haiewezekani napitwa hivihivi Click to expand... hamna shida mkuu japo nimeacha moja, moja nimetoa tayari
Saint Anne said: Tanayzer picha zako kesho naomba uzirudie tena kuziweka Haiewezekani napitwa hivihivi Click to expand... hamna shida mkuu japo nimeacha moja, moja nimetoa tayari
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Aug 9, 2020 #67,185 virgo man said: Enzi za ujanaView attachment 1532601 Click to expand... Ila wewe 😂😂😂😂
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #67,186 Bmichy68 said: Kwan Kuna psychologist humu wanaochunguza watu? Me nakumbuka kuna kipnd nilikaa na psychologist mmoja alinidefine tofauti na jins nilivyo ndo maana hao watu sometimes siwaamini Click to expand... Hahaha mkuu wapo humu! Watu ambao wakikosaga hoja kazi yao ni kuanza kuhusianisha unachoandika humu na tabia zako halisi! Mimi nilishakaa hadi na wachungaji na wakanidescribe tofauti hivyo hadi kesho siwaamini! Sembuse hao wanasaikolojia!
Bmichy68 said: Kwan Kuna psychologist humu wanaochunguza watu? Me nakumbuka kuna kipnd nilikaa na psychologist mmoja alinidefine tofauti na jins nilivyo ndo maana hao watu sometimes siwaamini Click to expand... Hahaha mkuu wapo humu! Watu ambao wakikosaga hoja kazi yao ni kuanza kuhusianisha unachoandika humu na tabia zako halisi! Mimi nilishakaa hadi na wachungaji na wakanidescribe tofauti hivyo hadi kesho siwaamini! Sembuse hao wanasaikolojia!
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,187 Bmichy68 said: So are you single mother? Click to expand... Wala Ni vile sipendi kuona wanaonewa Tena wanaowanyooshea vidole ni haohao watia mimba.
Bmichy68 said: So are you single mother? Click to expand... Wala Ni vile sipendi kuona wanaonewa Tena wanaowanyooshea vidole ni haohao watia mimba.
virgo man Senior Member Joined Feb 7, 2017 Posts 167 Reaction score 424 Aug 9, 2020 #67,188 Depal said: Ila wewe Click to expand... Before hii nmedelete kuna post kitu kimepanda live dooooh
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,189 Tanayzer said: hamna shida mkuu japo nimeacha moja, moja nimetoa tayari Click to expand... Sijaona hata moja. Simu yangu haifungui picha,nadhani mtandao wangu Leo upo chini mno.
Tanayzer said: hamna shida mkuu japo nimeacha moja, moja nimetoa tayari Click to expand... Sijaona hata moja. Simu yangu haifungui picha,nadhani mtandao wangu Leo upo chini mno.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,190 Zoë said: Hahaha mkuu wapo humu! Watu ambao wakikosaga hoja kazi yao ni kuanza kuhusianisha unachoandika humu na tabia zako halisi! Mimi nilishakaa hadi na wachungaji na wakanidescribe tofauti hivyo hadi kesho siwaamini! Sembuse hao wanasaikolojia! Click to expand... Unadhani hata ni wanasaikolojia basi Ni wahuni flani wamejipachika hicho cheo Cha upiga ramli
Zoë said: Hahaha mkuu wapo humu! Watu ambao wakikosaga hoja kazi yao ni kuanza kuhusianisha unachoandika humu na tabia zako halisi! Mimi nilishakaa hadi na wachungaji na wakanidescribe tofauti hivyo hadi kesho siwaamini! Sembuse hao wanasaikolojia! Click to expand... Unadhani hata ni wanasaikolojia basi Ni wahuni flani wamejipachika hicho cheo Cha upiga ramli
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Aug 9, 2020 #67,191 Hebu iweke tena. Sasa hayo madunguli mekundu ya nini? virgo man said: Before hii nmedelete kuna post kitu kimepanda live dooooh Click to expand...
Hebu iweke tena. Sasa hayo madunguli mekundu ya nini? virgo man said: Before hii nmedelete kuna post kitu kimepanda live dooooh Click to expand...
MAMESHO JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 1,432 Reaction score 1,744 Aug 9, 2020 #67,192 D Saint Anne said: Sijui wanakwama wapi Click to expand... Waite IT,
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Aug 9, 2020 #67,193 Saint Anne said: Unadhani hata ni wanasaikolojia basi Ni wahuni flani wamejipachika hicho cheo Cha upiga ramli Click to expand... 😂😂😂😂😂😂😂
Saint Anne said: Unadhani hata ni wanasaikolojia basi Ni wahuni flani wamejipachika hicho cheo Cha upiga ramli Click to expand... 😂😂😂😂😂😂😂
virgo man Senior Member Joined Feb 7, 2017 Posts 167 Reaction score 424 Aug 9, 2020 #67,194 Depal said: Hebu iweke tena. Sasa hayo madunguli mekundu ya nini? Click to expand... Mh
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Aug 9, 2020 #67,195 Saint Anne said: Wale wa kutupachika single mother nilishawazoea mbona Tena kuna mwingine kanipachika mchana Wapambane na hali zao na saikolojia zao Maisha ni mafupi sana kuwa siriaz kila muda Click to expand... watu wana muda wa kufuatilia ujinga aiseee
Saint Anne said: Wale wa kutupachika single mother nilishawazoea mbona Tena kuna mwingine kanipachika mchana Wapambane na hali zao na saikolojia zao Maisha ni mafupi sana kuwa siriaz kila muda Click to expand... watu wana muda wa kufuatilia ujinga aiseee
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,196 MAMESHO said: D Waite IT, Click to expand... Ngoja tusubiri mkuu Natumaini kesho Mambo yatakuwa sawa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,197 Zoë said: watu wana muda wa kufuatilia ujinga aiseee Click to expand... Mno Halafu nilipita kule nikaona Nimecheka sana
Zoë said: watu wana muda wa kufuatilia ujinga aiseee Click to expand... Mno Halafu nilipita kule nikaona Nimecheka sana
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,269 Aug 9, 2020 #67,198 Zoë said: Yes, all that. Duuh kumbe watu bado wako macho Click to expand... 😍😍 hebu tulaleni
Tanayzer JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 3,005 Reaction score 7,384 Aug 9, 2020 #67,199 Saint Anne said: Sijaona hata moja. Simu yangu haifungui picha,nadhani mtandao wangu Leo upo chini mno. Click to expand... kesho nitaweka mkuu, tuombe uzima tu....
Saint Anne said: Sijaona hata moja. Simu yangu haifungui picha,nadhani mtandao wangu Leo upo chini mno. Click to expand... kesho nitaweka mkuu, tuombe uzima tu....
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Aug 9, 2020 #67,200 Depal said: Click to expand... Niliona Jana pia wamekupigia ramli Halafu sasa bahati mbaya hawajui...kama ndo kubet Basi wanachana mikeka tu
Depal said: Click to expand... Niliona Jana pia wamekupigia ramli Halafu sasa bahati mbaya hawajui...kama ndo kubet Basi wanachana mikeka tu