Selfika na JF: Snap it. Show it

Alikuwa mwalimu.
Siku hizi anacheza tu na wajukuu nyumbani.

Ameninyooshaga sana mama yangu,alikuwa haangaalii ulast born wala nini..ikifika kusoma na kuandika anafinya masikio balaa.
Ana mwandiko mzuri sijapata kuona.
Hongera Sana kwa kupata mama Bora anayesimamia watoto wake kwenye maswal ya kielimu, hope na ww upo hivohivo kwa watoto wako.
 
Mimi siku nimepewa smartphone nilihangaika.
Nilikuwa naona vidole vipana..yaani nagusa herufi mbilimbili.. aiseee nikaichukua nikairudishia kwenye box nikachukua kitochi changu.
Cha kutaabikia Nini na kitochi ninacho.
eti nilikuwa naona vidole vipana
nmecheka Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…