Selfika na JF: Snap it. Show it

Daah ila asante kama hata angalau umeniona mimi mstaarabu kuna watu wananiona kauzu mkorofi muongeaji sina adabu but mwisho wa siku mimi napenda matani tu

Though sina maana matani yangu ndiyo yawe kikwazo kwa wengine
Basi hawajui kumsoma mtu.
Mbona mimi nakuona mstaarabu sana au kwa kuwa sijakuzoea Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…