Nikifika 60 si nitakuwa na kitambi?
Masaa nane kulala
Pork + chips - red meat
Malimao nitapunguza
Wanga nawezana na wali tu nahisi. Siku hizi hadi mkate unanishinda, nikijitahidi ni slice 3 hapo nimejilazimisha mno.
Masoda and the like
Mazoezi
weekdays uwa nina kibarua cha kupanda ngazi na kushuka. Zoezi linatosha ilo.
Ngoja nikazane, natumaini sitokuangusha mpendwa.... Asante sana & ubarikiwe