Selfika na JF: Snap it. Show it

Kila la kheri,

Unaweza ukawa na kg 60 na usiwe na kitambi...kikija unafanya mazoezi ya kuondoa tumbo
 


Maisha ndo haya haya mtu chake hakuna mengine.unaweza kujibana weeee mwisho wa siku unafika mbinguni unasikia sauti ikisema...”mlijiachia vya kutosha duniani?hapo ndipo utapotamani kurudi
Tobaaaaaah nimecheka afu kwa sauti kubwa,
, ila kweli mam kula maisha kadri ya matakwa, huko mbinguni itaeleweka kwenye mahesabu.
 
Me naongeza sio kupunguza.
And then sinywi pombe bia, nakunywa tu dry alcohol like wine+ Smirnoff.
Bia ni mbaya jamani kwanza chungu lakkn watumiaji wanakwambia uchungu ndiyo utamu wenyewe. Bia nzuri kiasi ni Heineken

Safari, Balimi, Budweiser na Serengeti are the best aise
Na Windhoek na Heineken kidogo ila zingine zote chungu
 
Mwanamke mpambanaji, u r Cash Madame.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…