Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Yaan nipo tyuuuh nazurura, si niliku qote nikupe lift, kwan hujaona ile ndinga, wallah hii weekend ni murua kwangu, njoo hapa bhana lolDogo uko Rotana? Hongera!
Kuhusu picha mbona nilikuambia nilifuta zote na camera yangu mbovu? Nikitengeneza simu nitakupigia nitakutumia!
Upo wapi nisogee? Ama njoo huku East Africa tupige tizi
Still weitingi...
Yako ikwapi Shem?Picha zimekuwa chache jamani, Saint Anne na Clkey ndio wametutoa kimasomaso leo. Au zimefutwa nyingine?
Nilikuwa najikoki hapa ila nimeona holla, yaani bado sijashawishika...
Hakikisha nimeiona

Kabisaaah huyo anakuja na kuyeya kimya kimya, aaah thijui hatak kutupa zawadi za maziwa fresh ya mtindi.Halafu hii tabia yako ya kuja na kuondoka kimya kimya hainifurahishi kabisa
Haya niambie leo bata wapi aise
Yaan nipo tyuuuh nazurura, si niliku qote nikupe lift, kwan hujaona ile ndinga, wallah hii weekend ni murua kwangu, njoo hapa bhana lol
Nasubir kuona na mie, tena uniite mwenyewe.
Kabisaaah huyo anakuja na kuyeya kimya kimya, aaah thijui hatak kutupa zawadi za maziwa fresh ya mtindi.



Weee nmekutaja mda sio mrefu, nliambatanisha na 4to enyewe, wala sijafuta panda tyuuh juu utaona,. Hii wekend nataka kuingia sehemu zile expensive nilizokuwa naziona kwa nje. UwiiiiiiiiiiihKama umeniquote kwenye hizo comments zenu million moja mlizochat leo basi tena ndiyo imetoka hiyo maana hata notification sijapata
Sawa weekend njema we enjoy zako tu mwaya



usicheke bhanaaah dea, tuwe serious ili asidhan utan, si unamjua huyo mwenyewe, jokeeeh sanaaah lolNikushawishi na nini? Niambie nitekeleze.Nilikuwa najikoki hapa ila nimeona holla, yaani bado sijashawishika...
Ndyo ila nataka na leo nione nyingne, mwana msimbazi mwenzangu, kwani shida nn bhanaaah