Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Sawa... hivi punde utaiyonaNdyo ila nataka na leo nione nyingne, mwana msimbazi mwenzangu, kwani shida nn bhanaaah
Nikushawishi na nini? Niambie nitekeleze.
Ukijiandas kutuma yako.
Sent using Jamii Forums mobile app



makiseo bwana! ID yako ina maana gani?makiseo bwana! ID yako ina maana gani?




Weka picha mbona maneno ni mengi
Naona bro Mnazareth anakuzungusha balaa. Sijui Mnazareth wa wapi huyu? Za kushinda?
Salama kabisa.. Mzima wewe?Naona bro Mnazareth anakuzungusha balaa. Sijui Mnazareth wa wapi huyu? Za kushinda?
Hakika....Ila ww hujatuma yako humu

Ucheke nini hasa!??
Hahah ni wa pale pale Jijini Bethlehem..Naona bro Mnazareth anakuzungusha balaa. Sijui Mnazareth wa wapi huyu? Za kushinda?
Njoo nikupe k-vant upate mzukaNipeni mzuka basi nitupie picha.
Nipeni mzuka jamani.
Maana nimependeza hatari.
Nimewaka balaaaa.
Ninashangaliwa mpaka aibu.
Sasa nataka na nyinyi mnione![]()



Aisee umependeza si mchezo..Nipeni mzuka basi nitupie picha.
Nipeni mzuka jamani.
Maana nimependeza hatari.
Nimewaka balaaaa.
Ninashangaliwa mpaka aibu.
Sasa nataka na nyinyi mnione![]()
Mimi na wewe dam dam..
Usisahau kutuonyesha na chura hakika itapendeza zaidiNipeni mzuka basi nitupie picha.
Nipeni mzuka jamani.
Maana nimependeza hatari.
Nimewaka balaaaa.
Ninashangaliwa mpaka aibu.
Sasa nataka na nyinyi mnione![]()


