Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Kashindikana kabisa huyu... siyo damu yetu kabisa hii..
Poa mdogo wangu.. ngoja nifanye namna apatikane Msukuma na hivi kwa sasa nipo Usukumani huku.. Jiandae tu.. Nasikia hawa mahari zao ni dhahabu.. wana jeuri hao

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja nikae iwa kutulia nikisubiria dhahabu. Shimba ataambulia maparachichi ya buku yanamtosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom