Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Kashindikana kabisa huyu... siyo damu yetu kabisa hii..
Poa mdogo wangu.. ngoja nifanye namna apatikane Msukuma na hivi kwa sasa nipo Usukumani huku.. Jiandae tu.. Nasikia hawa mahari zao ni dhahabu.. wana jeuri hao
Sent using Jamii Forums mobile app





Picha... pichaaaAisee rafiki yangu niko hapa..
Nipo hapa on and Off!
Ngoja nikae iwa kutulia nikisubiria dhahabu. Shimba ataambulia maparachichi ya buku yanamtosha.
Sent using Jamii Forums mobile app







Huamini macho yako


Hapana n mdogo angu huyoooh
Aisee,yule ni bro tulitest mitambo
Ouk
Hiyo picha iko huko mitandaoni siku nyingi bwana, hebu weka picha yako.Aisee,yule ni bro tulitest mitambo
Kwanini unatumia nguvu kubwa kujifanya mwanamke!??Hapana n mdogo angu huyoooh
Bwanga la mkoromije..Ts furahidayView attachment 1529702