Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Sawa
Arusha huku
Okay asantee

Basi duniani wawili wawili.Arusha huku
Usimbanie mtoto kaka....Next time![]()
Kwangu ni kumi kumi maana huwa nafananishwa na watu wengiii mnoBasi duniani wawili wawili.
Yaani yupo kama wewe..nikikuonyesha picha yake utakubaliana na Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
@Depal wangu njoo mama!Basi duniani wawili wawili.
Yaani yupo kama wewe..nikikuonyesha picha yake utakubaliana na Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
me unanifananisha na nani?...Poapoa MkuuUsimbanie mtoto kaka....

Ngoja nitafute picha yake nikuonesheKwangu ni kumi kumi maana huwa nafananishwa na watu wengiii mno
Poapoa Mkuu
Kwa leo inatosha ngoja nirudi Job



Ongeza ya mwisho kabla hujaondokaKwa leo inatosha ngoja nirudi Job![]()
Mmmmh dea kuna pombe tamu kweli? LolHaha ni tamu ndiyo, ila ukitaka tamu zaidi ni Altar wine. Bei ni elfu 10 tu