Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
Wewe hapo umempoteza Lizarazu wetu
Khaa lizarazu nije naye mimi au wewe
Ni huyo dada yako wakuitwa jael kanifungia sehemu....hataki nishike simu






Madame kama madame.
Snap it show it. LolHahaha , habari ya siku nyingi
Sina hata picha ya vidole ..
Sema unataka saa ya aina gani, nikuagizie Dubai!



Saa kama saaSema unataka saa ya aina gani, nikuagizie Dubai!![]()




Sasa hiyo ya kusoma majira ni saa au redioSaa kama saa
Cha muhimu isome majira.
Dubai mbali bwana, hata Kariakoo zipo















Utajua hujui.Sasa hiyo ya kusoma majira ni saa au redio![]()
Aunt ake na Mkwepu Zoë naziona mambo zako.ama ni unasaka na pics kijanja



hapana, kuna raha fulani tu huwa naipata nikitoa likes kwa watu wote wanaocomment kwenye huu uzi, haijalishi comment ya mtu imenifurahisha au imenikwaza, unless comments ziwe nyingi sana halafu nisiwe na muda wa kupitia moja moja.Ulivyotulia tulia hapa kama sio wewenina uhakika Saint Anne hata hajui we ni nani.
Hebu nibariki basi na vidole ama macho




Ngoja nikununulie vile viredio vidogob upate kusikiliza TBC wakisoma uchambuzi wa magazeti hasa gazeti la majiraUtajua hujui.
We ilete tu...

















Hua siumii kwa mtu aliyekufa akiwa na 50+ ila chini ya hapo hua naumia mno.
Imebidi nimrudishe Vinchi..namsumbua cockie hadi najistukia
Umefuta nini?