Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
Nitamgawia we ukishaninunulia nyingineZipo wapi tukutane Ubungo nikakununulie hiyo mgawie Anna.
Nitamgawia we ukishaninunulia nyingineZipo wapi tukutane Ubungo nikakununulie hiyo mgawie Anna.
Nimekupa ruhusa. Haya weka sasa...Akh niombe ruhusa kwanza
Lazima ziwe kubwa kwako.
Inategemeana na speed yako ya kusuka pia na mtindo unaosuka.Inakuchukua muda gani kumaliza kili nzima?
,ukimaliza unachemshia rangi then unashona..hizi ni mteremko tu,kwa mtu anayesuka haraka Kama Mimi siku 3 tu kili inaisha.
Mguu wangu unaujua au unausikia?Lazima ziwe kubwa kwako.




Ha ha ha!!! Futa tu Dear...
Khaaah!! Kile kimguu kama cha mtoto

Yah..tunashona na sindano zetu special..tunapiga pindo pembeni namna hiiUkimaliza hapo uunge kwa kamba zile za kushonea viatu au za salfeti, kisha uweke na pindo.
I remember those old days bi mkubwa alikuwa anasuka sana hii.

Khaaah!! Kile kimguu kama cha mtoto
Hicho ni 41.









Duuuh!Yah..tunashona na sindano zetu special..tunapiga pindo pembeni namna hiiView attachment 1526245
Sent using Jamii Forums mobile app
Waaaapi!
Mimi na wewe tunaitwa "old school", hata mimi sina nijualo hapo.![]()






Ah uzuri ni kwamba hayana umuhimu wowote hayo mambo na wala siyo sifa mtu kuonekana anayajua, maana hata sisi tunaoyajua hayana msaada wowote kwenye maisha yetu ni mambo ya kupita na yako kwa ajili ya kurefresh minds tu.
Sasa kaka na wewe una uold school gani eti![]()

nna kaushamba flani hivi mdogo wangu.Aisee, humu kuna "classic women" hakyanani!
Jinga weweHili swali Saint Anne ilibidi uulizwe wewe kinara wa kuwaambia wenzio waachie sura zao wakati wewe hauwezi![]()












