Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
😅😅😅 kaa kwa kutuliaNi nani
Umbea kwa mwanamke sunnah![]()
😅😅😅 kaa kwa kutuliaNi nani
Umbea kwa mwanamke sunnah![]()
Acha kunipelemba bob 😆Ngoja nikununulie vile viredio vidogob upate kusikiliza TBC wakisoma uchambuzi wa magazeti hasa gazeti la majira
Si ndio itakuwa imesoma majira?!![]()
Utaweza?
Ukishakuwa na mambo mengi au mzururaji hata kiri moja humalizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiru nyie watu
I seriously can’t believe huwa mnatilia maanani ule ujinga ninaoandikaga! Daah basi ndiyo maana!








Hivi mkwepu amewahi kuweka picha yake humu??
mkwepu jr tunaomba ujiselfishe.
Sent using Jamii Forums mobile app



huyo kujibu tu comments za watu taabu sembuse kuweka picha, kuna moja niliifuma aliweka juzi juzi hapa sema siyo yake ni ya sehemu tu japo hata hiyo nayo nilishangaa kuiweka.UlizidiDuuh mimi inategemea tu kwa kweli
Cookie sina hamu naye aise alinichoma kwa Max






ninyi mna lenu jambo ninyiIle hata mimi niliiona.huyo kujibu tu comments za watu taabu sembuse kuweka picha, kuna moja niliifuma aliweka juzi juzi hapa sema siyo yake ni ya sehemu tu japo hata hiyo nayo nilishangaa kuiweka.



.


Na kama mlimpoteza huko Beijing basi mrudisheninyi mna lenu jambo ninyi

Ni mtu poa sana labda ww una mkosi wako tu


Mimi mtu akitaka kunifunga mdomo basi azungumzie mambo ya movie.
Nakuwaga mpole kama maji ya mtungi
Sent using Jamii Forums mobile app