Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,363
Usichukie kwani si nilikwita ukakataa mwito!umekataa mione face ako aaaah, nmechukia lol
![]()

hivyo tyuuuh!!
Usichukie kwani si nilikwita ukakataa mwito!umekataa mione face ako aaaah, nmechukia lol
![]()

hivyo tyuuuh!!
Hebu nione hyo ulotoaaaah jomoneeeeh dea,



Kama mama yangu tumamaangu anasuka ukili asee..![]()
.Jana skuona mie mbna kweli iv
Ngoja nikuoneshe kichwa kabisa! Yaani kichwa tyuuuh!nataka sura tyuuuh mie uwiiiiih

hahah..bila shaka una kaujuzi flani hivi ka kusuka ukili...naona hapa mom yuko vizuri kuchanganya rangi...bt all in all, mikeka hii inadumu kwa muda mrefu..nilipewa na mom mpaka sasa ninao, kama mpya vile.


nmekulia timing muda mrefuNdiyo boss unadumu sanahahah..bila shaka una kaujuzi flani hivi ka kusuka ukili...naona hapa mom yuko vizuri kuchanganya rangi...bt all in all, mikeka hii inadumu kwa muda mrefu..nilipewa na mom mpaka sasa ninao, kama mpya vile.

Mlijua mpo peke yenu eeh

