Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Eeh hiyo ndio imenifanya niweke doria hapa... Imeniuma


Eeh hiyo ndio imenifanya niweke doria hapa... Imeniuma


Chakula kitamu sana hiki Jael
Hiki chakula sijui mnakipendea nini, hakinaga ladha.
DahEeh hiyo ndio imenifanya niweke doria hapa... Imeniuma![]()






Duh ninepitwa niko hapa hapa?😭😭Mbona umeziba sura?![]()
haahha...mbn cjaoa hiyo picha tu...Hongera kwa kutimiza maandiko.![]()
Kuna komamanga linaposti picha za mauwa utafikiri sisi ni nyuki.. weka picha yako wewe mauwa peleka huko yakazalishe oksijeni... Karagabao..
Na unapitwa tenaDuh ninepitwa niko hapa hapa?![]()









Kuna komamanga linaposti picha za mauwa utafikiri sisi ni nyuki.. weka picha yako wewe mauwa peleka huko yakazalishe oksijeni... Karagabao..






Heh.. Huyu kapitiliza aisee, anapitishwa kituo na yupo machoNa unapitwa tena
Dah,
ningendako huwa mnaniona mzembe,oneni wazembe Hawa
Sent using Jamii Forums mobile app




haya bwanaImagine hadi muda huu nimejikaza sijatoa ila Kuna mtu yupo hapahapa baadaye atakuja kunilaumu hajaonaHeh.. Huyu kapitiliza aisee, anapitishwa kituo na yupo macho
Inabidi apewe kozi fupi fupi aendane na kasi![]()



haha.., bado bado mkuu..