Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Watu wamelala..weka nioneHahaha tatizo ni kwamba wewe zako hautaki nizione
Halafu hapa hautaona peke yako wataona wengi tu

Zangu bado nakutafutia huko juu,nikizipata nakutag
Watu wamelala..weka nioneHahaha tatizo ni kwamba wewe zako hautaki nizione
Halafu hapa hautaona peke yako wataona wengi tu

Leo hujasalimiwa na Makiseo mkuu?Haha tatizo ni kwamba wewe zako hautaki nizione
Halafu hapa hautaona peke yako wataona wengi tu


Watu wamelala..weka nione
Zangu bado nakutafutia huko juu,nikizipata nakutag

Nipo natafutaWewe nimeshakuona ni kajanja
Nitag kwanza huko halafu nami nitaweka.

Nipo natafuta
Si rahisi kuzipata kiurahisi ila ziko nyingi
Weka sasa


Wallah natafutaAisee unatafuta wakati uko hapa unanijibu comments kila baada ya sekunde chache
Niko hapa nasubiria utafute unitag kwanza..
Usijari dea ntaweka tena uone.Sikuona
Weka basi nione
Guuh


Wallah natafuta
Hujaweka tu?
Nimekutag..ukishaona Naomba usiquote post zangu nilizokutag
Usijariiih

Jaribu kuangalia kupitia web..Duuh hata sijaona tag
Na wee piaAsubuhi na iwe njema kwenu wakuuView attachment 1519373
We kweli jogoo wa shambaAsubuhi na iwe njema kwenu wakuuView attachment 1519373