Sikumalizia tuu brother, zote zibadilike zifanane nz hizo nyeupe nyeupeOne day yes vipi tena wakati mzigo huo hapo?!
Mzee wa chimbo, nitume boss
Naomba unifundishe ku drive babuuh.
OukeeeeeyShukraan
; Haya ni mapambo ya nyumbani mtu anadizaini ama?Ipi hiyo babuuuh mmmh, mie nataka kusukuma ndinga tyuuuh.Njoo takupa na ile zawadi nyingine![]()




Nimezipenda hizo za pili. Ubunifu maridadi sana.