Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha, jamani binti mrembo km wewe ,usiogope ,nitaKULINDA

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan hapan kwa kweli wajeda watansamehe tyuuh, huhuh likizo hii ya corona wakat narud huku kutok home, nlkaa seat na mjeda afu n kijana mdogo tyuuh cjui ndo anaanza kaz, heeeh nliona safar chungu na nzto, af vzur nlikua dirishan, huwez amini tangu mwanzo wa safar hadi aliposhuka yey ruvu, skuwa naongea bizze na kuskliza [emoji445] kweny [emoji442] macho dirishan tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaan hapan kwa kweli wajeda watansamehe tyuuh, huhuh likizo hii ya corona wakat narud huku kutok home, nlkaa seat na mjeda afu n kijana mdogo tyuuh cjui ndo anaanza kaz, heeeh nliona safar chungu na nzto, af vzur nlikua dirishan, huwez amini tangu mwanzo wa safar hadi aliposhuka yey ruvu, skuwa naongea bizze na kuskliza [emoji445] kweny [emoji442] macho dirishan tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, basi usiogope Mimi sio mmoja wao ,si mjeda, kuwa huru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ulizingua nini weee auntieeeh? Oooooh ulikwama wapiiii yaaan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]Muulize mwenyewe alivuruga wapi.
 
Back
Top Bottom