Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha, jamani binti mrembo km wewe ,usiogope ,nitaKULINDA

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan hapan kwa kweli wajeda watansamehe tyuuh, huhuh likizo hii ya corona wakat narud huku kutok home, nlkaa seat na mjeda afu n kijana mdogo tyuuh cjui ndo anaanza kaz, heeeh nliona safar chungu na nzto, af vzur nlikua dirishan, huwez amini tangu mwanzo wa safar hadi aliposhuka yey ruvu, skuwa naongea bizze na kuskliza kweny macho dirishan tyuuh
 
Yaan hapan kwa kweli wajeda watansamehe tyuuh, huhuh likizo hii ya corona wakat narud huku kutok home, nlkaa seat na mjeda afu n kijana mdogo tyuuh cjui ndo anaanza kaz, heeeh nliona safar chungu na nzto, af vzur nlikua dirishan, huwez amini tangu mwanzo wa safar hadi aliposhuka yey ruvu, skuwa naongea bizze na kuskliza kweny macho dirishan tyuuh
Hahahaha, basi usiogope Mimi sio mmoja wao ,si mjeda, kuwa huru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom