cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Ni mie hapaah
Hahahaha wewe unamjaza mwenzioUtachanganyikiwa.
Maana kuna watu walikuwa wanajipeleka bila hata kuitwa.
Il tukomae tu aweke picha
Mwambie huyo kamanda wanaume tukiweka picha hapa huwa hatufuti no matter what....



Huhuhuhuh usnambieeeeeeh auntieeeeeh, jamaniiiiiih sasa c awekeeeh tumuone lol
Hahahaha, mnashauriana nn tena hapaUtachanganyikiwa.
Maana kuna watu walikuwa wanajipeleka bila hata kuitwa.
Il tukomae tu aweke picha
Yna nimeikosa picha yako dah!
Rafiki lala



Tanteeeeeeeeeeh, haya weka pichaaah jomoneeeeh
Hakunaa wee weka pichaaaaah tyuuuh.
Omba ruhusa kwa mwenye nayo tuuNamimi😂
Tena umekosa zigo zigo.Yna nimeikosa picha yako dah!
Kwa nini sasa huwa mnafuta lakini?
Siku nyingine nitag bana![]()
Hivi Gashimba na wewe ushaweka picha yako?Mwambie huyo kamanda wanaume tukiweka picha hapa huwa hatufuti no matter what....![]()
Hahahaha kwa niaba yako Eng nitakuwekea kesho au km vipi unione live tu ,najua muda huu uko busy ,tupige storyTanteeeeeeeeeeh, haya weka pichaaah jomoneeeeh
Dah ,Eng umekomaa kweli kweliHakunaa wee weka pichaaaaah tyuuuh.
Hahahaha kwa niaba yako Eng nitakuwekea kesho au km vipi unione live tu ,najua muda huu uko busy ,tupige story
Sent using Jamii Forums mobile app




Hatimaye cocastic zali limekudondokea.Duuuuh leo sna usngz kuna mtu kanitibua sanaa, acha nipoteze muda hapa, bahat nzur kesho sna pindi.Hahahaha kwa niaba yako Eng nitakuwekea kesho au km vipi unione live tu ,najua muda huu uko busy ,tupige story
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara tatu. Na sijafuta. Wala sijajiziba usoHivi Gashimba na wewe ushaweka picha yako?



Hakuna mkate mgumu mbele ya chai,





Basi siku nyingine. Au fanya roho nzuri unitumie banaTena umekosa zigo zigo.
Ile mizigo yako unayopendaga


