Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanataka ndoa, papa zimelowa, mida flani hivi
20200628_193224.jpg
 
Kila mwanaume 1 anaporudi nyumbani, anaenda kuipa matumaini familia yake, hata kama hana senti tano! Uwepo wake na tabasamu na kurudi kwake, kunainong'oneza familia "IPO KESHO....KUNA MAISHA BADO....TUNA ULINZI WA KUTOSHA. BADO LIPO TUMAINI.."
_
Mwanaume anatembea na mengi sana kichwani na moyo wake, na hawezi kuyasema, kama wanaume wangelikuwa wanawaeleza wake zao namna wanavyopambana kwa ajili ya familia zao, wanawake wangelikufa kwa mshtuko.

Si ajabu ndiyo maana wanaume tunakufa mapema, maana tunauawa na mengi!....
 
Kila mwanaume 1 anaporudi nyumbani, anaenda kuipa matumaini familia yake, hata kama hana senti tano! Uwepo wake na tabasamu na kurudi kwake, kunainong'oneza familia "IPO KESHO....KUNA MAISHA BADO....TUNA ULINZI WA KUTOSHA. BADO LIPO TUMAINI.."
_
Mwanaume anatembea na mengi sana kichwani na moyo wake, na hawezi kuyasema, kama wanaume wangelikuwa wanawaeleza wake zao namna wanavyopambana kwa ajili ya familia zao, wanawake wangelikufa kwa mshtuko.

Si ajabu ndiyo maana wanaume tunakufa mapema, maana tunauawa na mengi!....

Hapo bold tufanye utafiti upya, huenda statement yako isiwe na ukweli 100%, hasa hapo kwenye "hana senti tano".
 
Back
Top Bottom