Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Hivi we selfie yako iko wapi
Hivi we selfie yako iko wapi
AmenUbarikiwe,ulete picha hapa
Tupia basi Zoë, si unaenda church mumy?
Hahahaha, akitupia ni tagTupia basi Zoë, si unaenda church mumy?
Na we we tupia basis mkuu
Na we we tupia basis mkuu
Tupia basi Zoë, si unaenda church mumy?
@Zoe sikiliza maombi haya ya binadamu wenzioHivi we selfie yako iko wapi
@Zoë hana shida! Brain n' beautyHahahaha, akitupia ni tag
Safi sana ,anaonekana tu@Zoë hana shida! Brain n' beauty
Yaani wewe ni pombe kuanzia asubuhi hadi kunakucha





Daah nishatoka halafu sikupiga hata picha na nguo za church nimeshavuaTupia basi Zoë, si unaenda church mumy?
Mwee siyo kwa kuandamwa hukuNa we we tupia basis mkuu
Yes yes!! Au hutaki.Mmh 'blaza'![]()
Nilikuwa standby hapa, dah!!Daah nishatoka halafu sikupiga hata picha na nguo za church nimeshavua
Naenda kwenye misele saa hii
Usijali wewe nitakutumia yako pmNilikuwa standby hapa, dah!!
Mzee pole sana, umefanya nini tena ?Ajali haina kingaView attachment 1484951
Duuh pole sanaAjali haina kingaView attachment 1484951