Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ambaye hajaona ni mzembe.Mie nikiweka huwa naweka full hadi sura, Saint Anne anazo.
Ha ha ha...Halafu ile yako full niliyokuomba bado naisubiri PM
Weeeeee...
Saint Anne mwenyewe muombaji wa picha za watu humu na wewe ukiwepo..
Uweke Full Saver ya JF izime![]()





Bado nasubiri tangu ile sikuHa ha ha...
Usahau tu Mdogo wangu??
Kwa hiyo Mimi Dadako unaniweka kwa Wazembe au upande upi?Ambaye hajaona ni mzembe.
Kuna kipindi uliweka Avatar..sema ulikuwa hujaweka rangi halisi.
Duh!!! Hebu nitumie aiseee..
Hizi sura za babu zetu sio za kuweka humu, naweza sababisha hitilafu ya mitambo tukakosa kusogoa humu.
Mie huwa naweka sana tu.
Unaona sasa, mie sina hiyana.Ambaye hajaona ni mzembe.
Kuna kipindi uliweka Avatar..sema ulikuwa hujaweka rangi halisi.


Nakutumia..Bado nasubiri tangu ile siku
Kundi la wazembeKwa hiyo Mimi Dadako unaniweka kwa Wazembe au upande upi?






Duh!!! Hebu nitumie aiseee..
Sikuona..







Tatizo kugundua ile picha ni ngumu sana.Unaona sasa, mie sina hiyana.![]()
Soma PmNakutumia..
Kumbe!! Mie nilikuwa naona inaonekana kabisaTatizo kugundua ile picha ni ngumu sana.
Hadi mtu awe ameona picha zako nyingine

Karibu.Hodi
Sijambo Elly.Akhsante nimekaribia
Hujambo Jael
Vizuri sana kama hujambo JaelSijambo Elly.
Hebu tubariki na kapicha.