Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Wewe ni mzuri sio lazma ufe ndio usifiwe
Wewe ni mzuri sio lazma ufe ndio usifiwe
Dah! Hatarious!
MhMshana mbona umepungua hivo ama angle ya picha ndo imekuminya
Basi tuu
Maneno uliyoyaandika hayalingani na standard za picha unazotuma.Mwanaume anaeonea wivu Mwanamke ni mshenzi tu![]()
Sawa my kaka 😊Maneno uliyoyaandika hayalingani na standard za picha unazotuma.
Hayo maneno huwa yanatumiwa na wakina Mwajuma ndala ndefu wa huko buza bondeni
One love my sisySawa my kaka![]()
Kuna 8,000 hapa mfuko wa shati.Uzi umepoa sana...View attachment 1479473
Ya Nini?Kuna 8,000 hapa mfuko wa shati.
Nikuone tu sura.Ya Nini?
Uzi umepoa sana...View attachment 1479473

Haya nawe usiishie hapo tu, changamsha uzi