Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Kuna siku niliona nikachekaMbona nilishamkataza na aliacha? Uwii kaandika wapi tena?











Kuna siku niliona nikachekaMbona nilishamkataza na aliacha? Uwii kaandika wapi tena?











Una kibichwa kizuri hadi raha + nywele flani za singa singa duh

Happy belated birthday babe, ilikuaje sijajua your birthday aiseeView attachment 1466645
Happy belated birthday to myself!

Ya zamani au nyingine tenaKuna siku niliona nikacheka![]()
Safi sana boss na hongera kwa kazi
Hahahha sawa mama wawili nikivuna mauzo yoote nakuleteaLima mkuu ukivuna tutakusaidia kula![]()
We si umekuwa bad bey! 😑😑😑Happy belated birthday babe, ilikuaje sijajua your birthday aisee![]()
Ooooh lyf z too short, kufurahi ndio mpango mzma ama neneh.Hahahaha Nafurahi Rafiki ,ama nakosea
Hahahaha, sawa sawa RafikiOoooh lyf z too short, kufurahi ndio mpango mzma ama neneh.
Thanks mkuuSafi sana boss na hongera kwa kazi
Bado unasoma?Yaani
Haya maisha ya kutoka kulima halafu unarudi shule ni magumu Sana..sema nimetoka kwenye kipindi mwalimu anachekesha hatari..full kucheka tu sitaki Shida.
Baridaaaaah san mjubaah
Ndugu yako huyoMmmh
Bado swali langu litabaki pale pale kuwa je wewe ni bisexual? Au yawezekana haujui kuwa huyo ni mwanaume mwenzio eti?
Huhuhuhuh af ukute kweli n baba angu mzazi, khaaaaaah
Yupi sasa @Cocastica ni mwanaume?Bado swali langu litabaki pale pale kuwa je wewe ni bisexual? Au yawezekana haujui kuwa huyo ni mwanaume mwenzio eti?