Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,376
- 176,224
Uliweka?Akija naweka.
Uliweka?Akija naweka.
@amu ukuje hapa.Aah wapi hakuweka
Michi yuh moreHivi bado hujaacha ubishi??
Nitakuja nikuletee robertson wine unywe tuone..
I mishi you![]()








Ndiyo wamekuachia saahiiMichi yuh more
Ulipotea wapi Jamani
Msimamo wangu wa kutokulewa ni uleule![]()
YaaniNdiyo wamekuachia saahii





Soma sisi bado tunalimaYaani
Haya maisha ya kutoka kulima halafu unarudi shule ni magumu Sana..sema nimetoka kwenye kipindi mwalimu anachekesha hatari..full kucheka tu sitaki Shida.
Umri umeshaenda dogoRudi shule wewe
Hivi wewe andaeitini utaacha lini kulilia ukubwa?Umri umeshaenda dogo
Me nimetoka shamba we umeoka pindi nani mkubwa sasaHivi wewe andaeitini utaacha lini kulilia ukubwa?
Tulia dogoMe nimetoka shamba we umeoka pindi nani mkubwa sasa
We lima utuletee mjini, hatuwezi kulima woteShamba cassava// tulime jameni ina hela sana View attachment 1474052
Weka yako basikitambo mbona Hamna picha kuna maneno tuu?
Kuna kijana anamficha sana mdogo wanguNdiyo wamekuachia saahii